Like us on Facebook and receive a 20% discount
Subscribe our newsletter and get unlimited profits
Be our regular customer to get personalized gifts
Like us on Facebook and receive a 20% discount
Subscribe our newsletter and get Book discounts
Be our regular customer to get personalized gifts

We ship packages within 24 hours of ordering

Free Shipping over Ksh 5000

Nasikia Sauti ya Mama by Ken Walibora

KSh 599.00
Need Help Call/Whatsapp 0703292722

Attributes

Nasikia Sauti ya Mama ni miongoni mwa waandishi arifu na ana umaarufu zaidi wa fasihi ya kiswahili waliowahi kuibuka katika Afrika mashariki na ya kati

Vitabu vingine ni kama

You may also like…

    You may also like…

      Nasikia Sauti ya Mama by Ken Walibora ni miongoni mwa waandishi arifu na ana umaarufu zaidi wa fasihi ya kiswahili waliowahi kuibuka katika Afrika mashariki na ya kati. Mbinu ya kalamu yake ina mvuto mkubwa na uzuri wa kisanaa wa aina yake. So, ameziandika tanzu mabilmbali za fasihi kama vile Riwaya, ushairi na tamthilia. Hata hivyo Nasikia Sauti ya mama ndiyo kazi yake ya kwanza inayostahili kuitwa tawasifu. Tawasifu inayoangazia kipande kidogo halisi yake mwenyewe na wala sio wahusika wake ambao ni zao la ubunifu.

      Also, Naskia sauti ya mama ndiyo kazi yake ya usimulizi wenye uwazi, ujasiri na umbuji. Uzuri wa kisanaa wa tawasifu hii unashadidia ukweli usiokanushika kwamba mwandishi huyu ,ataendelea kutamba kwa miaka na mikaka katika medani ya fasihi ya Kiswahili.

      You may also like

      Nasikia Sauti ya Mama by Ken Walibora
      This website uses cookies to improve your experience. By using this website you agree to our Data Protection Policy.
      Read more
      Open chat
      WhatsApp/Call