Like us on Facebook and receive a 20% discount
Subscribe our newsletter and get unlimited profits
Be our regular customer to get personalized gifts
Like us on Facebook and receive a 20% discount
Subscribe our newsletter and get Book discounts
Be our regular customer to get personalized gifts

We ship packages within 24 hours of ordering

Free Shipping over Ksh 5000

Mtoto wa Mama by Adam Shafi

KSh 649.00
Need Help Call/Whatsapp 0703292722

Attributes

Mtoto wa Mama ni riwaya inayotoa taswira ya maisha ya familia ya mzazi mmoja Zamda na mtoto wake, saburi. wote wamepotelewa, zamda na mume wake Sahuri na saburi na baba yake. Hawajui alipo. Hawajui kama yu hai au kafa.

Walipojua, tayari jalala, mtawala mkuu wa nchi alikuwa tayari ammkuhukumu Shauri adhabu ya kifo kwa kunyongwa hadharani. Kabla ya hukumu hiyo kutekelezwa, shauri tayari kitanzi kimemzunguka rohonzi.

You may also like…

    You may also like…

      Mtoto wa Mama by Adam Shafi ni riwaya inayotoa taswira ya maisha ya familia ya mzazi mmoja Zamda na mtoto wake, saburi. wote wamepotelewa, zamda na mume wake Sahuri na saburi na baba yake. Hawajui alipo. Hawajui kama yu hai au kafa.

      Walipojua, tayari jalala, mtawala mkuu wa nchi alikuwa tayari ammkuhukumu Shauri adhabu ya kifo kwa kunyongwa hadharani. Kabla ya hukumu hiyo kutekelezwa, shauri tayari kitanzi kimemzunguka rohonzi.

      Saburi, mwanwe shauri na mahamali wenzake wa mbele ya njia kuu wanawavamia walinzi wa jela na kuwanganganya silaha. Sasa jalala yu mashakani, na shauri yumo matatani zaidi. Nani atapona? saburi na nguvu zake na maarifa aliyoyapata mble ya njia kuu vitamwezesha kulizipiza kisasi hiki au atabaki kuwa mtoto wa mama tu?

      You may also like

      Baada ya kisa, saburi, mama yake na wahisani wao wanakimbilia kisiwa cha majini ambako wanapokelewa kwa huruma na ukarimu.

      Mtoto wa mama ni riwaya ambayo ukianza kuisoma itakugandisha hapo hapo ulipokaa mpaka uimalize.

      [Check out also form the Publisher] 

      Mtoto wa Mama by Adam Shafi
      This website uses cookies to improve your experience. By using this website you agree to our Data Protection Policy.
      Read more
      Open chat
      WhatsApp/Call