Kamusi ya Karne ya 21 by Longhorn
KSh 1,400.00
Attributes
Cover | Paperback |
---|
Toleo hili la Karne 21, limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
Shop for Kamusi ya Kiswahili Sanifu here
Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.
Reviews
There are no reviews yet.