Like us on Facebook and receive a 20% discount
Subscribe our newsletter and get unlimited profits
Be our regular customer to get personalized gifts
Like us on Facebook and receive a 20% discount
Subscribe our newsletter and get Book discounts
Be our regular customer to get personalized gifts

We ship packages within 24 hours of ordering

Free Shipping over Ksh 5000

Gamba la Nyoka by E. Kezilahabi

KSh 550.00
Need Help Call/Whatsapp 0703292722

Attributes

Gamba la Nyoka by E. Kezilahabi ni riwaya inayoonyesha jinsi maamuzi ya kisiasa yasiyotafakariwa yanavyoweza kuwa na athari mbaya kwa wanyonge na wakulima. Ni riwaya inayotashtiti sera zinaoongozwa na ubinafsi, kisasi na pupa ya utekelezaji. Hii ni riwaya inayotumia sitiari na taswira zenye uwezo mkubwa wa kuibua hisia kali na itakayozichokonoa fikira za msomaji hususan kwa namna inavyoupembua unafiki katika matendo ya waja. Hii ni mojawapo wa riwaya bora kabisa kuwahi kuandikwa katika fasihi ya Kiswahili.

You may also like

You may also like…

    You may also like…

      Gamba la Nyoka by E. Kezilahabi ni riwaya inayoonyesha jinsi maamuzi ya kisiasa yasiyotafakariwa yanavyoweza kuwa na athari mbaya kwa wanyonge na wakulima. Ni riwaya inayotashtiti sera zinaoongozwa na ubinafsi, kisasi na pupa ya utekelezaji. Hii ni riwaya inayotumia sitiari na taswira zenye uwezo mkubwa wa kuibua hisia kali na itakayozichokonoa fikira za msomaji hususan kwa namna inavyoupembua unafiki katika matendo ya waja. Hii ni mojawapo wa riwaya bora kabisa kuwahi kuandikwa katika fasihi ya Kiswahili.

      You may also like

       

      Gamba la Nyoka by E. Kezilahabi
      This website uses cookies to improve your experience. By using this website you agree to our Data Protection Policy.
      Read more
      Open chat
      WhatsApp/Call