Literature & Fasihi Books
KSh 400.00
Mwongozo wa Mshale wa Matumaini by Titus M. Kaui You may also like
KSh 500.00
The Pearl by John Steinbeck You may also like
KSh 550.00
The Caucasian Chalk Circle by Bertolt Brecht You may also like
KSh 599.00
The River Between, by Ngugi Wa Thiongo You may also like
KSh 550.00
An Enemy of the People by Henrik Ibsen You may also like
KSh 599.00
Blossoms of Savannah by H.R. Ole Kulet is an account of two sisters, Taiyo and Resian, who are not only on the verge of womanhood but are torn between their personal ambitions and their humiliating duty to the Nasila tradition. Their relocation to their rural home heralds a cultural alienation born of their refusal to succumb to female genital mutilation and early marriages. You may also like
KSh 699.00
Msimu wa Vipepeo by K.W. Wamitila ni riwaya inayosimulia hadothi ya wahusika ambao wamefanya maamuzi yanaathiri mkondo wa maisha yao kwa njia tofauti. kwanza kuna waziri mkurutu anayefurahi kuipanda ngazi ya maisha mapya katika awamu ya siasa ya utandawazi na mfumo wa soko huria. yupo Fabio Mkalla, mwanasheria mkuu, ambaye anaandamwa na asichokijua. kwa upande mwingine kuna Julia , Kanda na Ndumi wanaojikuta kwenye njia panda ya mkaso wa ‘Kipepeo’wapo melissa na Miranda, wanawake wanaojikuta katika jamii yenye mfumo unaokandamiza lakini wasiotaka kutiwa pingu na utamaduni na historia. You may also like
KSh 999.00
Isimujamii kwa Wanafunzi wa Kiswahili ni kazi inayonuia kikidhi baadhi ya mahitaji ya kimsingi ya usomaji wa kiswahil katika shule za upili, vyuo vya ualimu, vyuo vikuu na taasisi zingine zinazoshughulika lugha na mawasiliano. Pamoja na kufundishwa katika viwango mbalimabli vya elimu, Isimujamii ni taaluma inayoonekana kuingiana na mahitaji ya taaluma zinazotumikiwa maarifa juu ya mfumo wa lugha. Isimujamii humulika jinsi vigezo mbalimabali vya kijamii vinavyoathiri matumizi ya lugha. You may also like
KSh 599.00
Nasikia Sauti ya Mama ni miongoni mwa waandishi arifu na ana umaarufu zaidi wa fasihi ya kiswahili waliowahi kuibuka katika Afrika mashariki na ya kati Vitabu vingine ni kama
KSh 499.00
Artist of the Floating World by Kazuo Ishiguro reflects a picture of Masuji Ono, a painter, reflecting on how his life was impacted by the rise of Japanese militarism, which poses a threat to his peaceful retirement. Other Set books on this site can be found by clicking here.
KSh 499.00
Parliament of Owls by Adipo Sidang' You may also like